Fahari ya Serengeti

Saturday, September 30, 2017

KIKAO CHA WAZEE WA MILA MUUNGANO INCHUGU CHATOA TAMKO ZITO


 Wazee wa mila wa koo ya Inchugu Muungano wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakiwa nje ya Mstu mkubwa ambao wanadai ni ikulu yao katika kijiji cha Nyamakendo mara baada ya kikao chao ambapo wametoa azimio la kuwa koo hiyo haitajihusisha na ukeketaji na watakao kaidi watawashughulikia.




 Wazee wa mila wakiwa wanatawanyika
 Baada ya kikao wanakaa pamoja kwa kula na kunywa huku wakijadili mambo yanayohusu mila na desturi zao






 Kabla ya chakula unaanza na togwa

0 comments:

Post a Comment