Fahari ya Serengeti

Saturday, September 2, 2017

BURUDANI ZILITAWALA MAKABIDHIANO YA MWENGE WA UHURU MARA NA ARUSHA

 Burudani mbalimbali zilitawala makabidhiano ya mwenge wa Uhuru katika eneo la Krensi Loliondo wilaya ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha ,
 Ngoma ya Masai ambayo wachezaji hurika na kutua pale pale hawasongi mbele wala kurudi nyuma
 Mwenge ukikatiza maeneo ya hifadhi,raha ya utalii hiyo
 Mbwembwe na madoido toka kwa wasanii mbalimbali zilihanikiza


Viongozi wa Mkoa wa Mara wakiwa wamejipanga tayari kwa makabidhiano

0 comments:

Post a Comment