Fahari ya Serengeti

Saturday, September 9, 2017

WATAALAM TIMIZENI WAJIBU KUNUSURU AFYA ZA WALAJI

 Mkazi wa kijiji cha Bonchugu wilaya ya Serengeti akiuza nyama katika mazingira hatarishi,licha ya wataalam wa afya na watendaji wa serikali kuwepo katika eneo hilo hakuna hatua zinazochukuliwa ili kulinda afya za walaji.

Mbwa wananyemelea nyama katika bucha ya mkazi mmoka wa kijiji cha Bonchugu wilayani Serengeti

0 comments:

Post a Comment