Fahari ya Serengeti

Friday, September 8, 2017

IGIZO LA SANAA NURU KUHUSU ATHARI ZA UKEKETAJI LAWALIZA WAKAZI WA BONCHUGU SERENGETI

 Wasanii wa Sanaa Nuru toka Mugumu Serengeti wakitoa elimu juu ya athari za ukeketaji katika kijiji cha Bonchugu wilayani hapo,kutokana na ujumbe wake wenye hisia baadhi ya akina mama walitokwa machozi wakidai wakati wanakeketwa hawakujua madhara yake bali walikuwa wakitimiza mila na desturi na kwa sasa hawako tayari kuwafanyia watoto wao wa kike,

 Wanafuatilia igizo
 Wazee wa mila wa Koo ya Inchugu na baadhi ya viongozi wakifuatilia igizo

0 comments:

Post a Comment