Fahari ya Serengeti

Friday, September 8, 2017

SOKO LA KUKU LINAZIDI KUSHAMIRI MAENEO MENGI SERENGETI

 Wakazi wa kijiji cha Bonchugu wilaya ya Serengeti wakisubiri kuku wanaopelekwa katika soko kwa ajili ya kununua na kwenda kuuza mjini Mugumu,soko la kuku wa kienyeji linazidi kushamiri hasa kipindi hiki cha msimu wa utalii ambapo jogoo anauzwa kati ya sh 15,000- 20,000



0 comments:

Post a Comment