Fahari ya Serengeti

Wednesday, September 13, 2017

MAGETA FC BINGWA MAPESA CUP WATWAA NG'OMBE WAWILI



Timu ya Mageta Fc ya Mugumu Serengeti wakiwa katika picha ya Pamoja na viongozi wao baada ya mchezo baina yao na Smartboys Fc na kushinda bao 1-0 na kutwaa ubingwa wa Mapesa Cup na kuchukua ng'ombe wawili .


 Miongoni mwa zawadi zilizotolewa.


Timu ya Mageta Fc


 Baadhi ya mashabiki wa timu ya Mageta Fc
 Timu ya Smart boys fc




0 comments:

Post a Comment