Fahari ya Serengeti

Saturday, September 9, 2017

CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU

Gari lililobeba wasanii wa Nuru Sanaa ,wazee wa mila na baadhi ya viongozi w,
akisukuma gari lao baada kukwama katikati ya kijiji cha Bonchugu na Kisangura wilayani ya Serengeti  wakati wakitoka kwenye mkutano wa wazee wa mila kijiji cha Bonchugu ambao uliitishwa ili kutoa msimamo wao wa kupiga marufuku ukeketaji,kushoto gari la fuso likiwa limekwama.
Hata hivyo imebainika utengenezaji wa barabara katika eneo hilo unatakiwa kutazamwa upya kutokana na ubovu wake.
Kila mmoja na staili yake

 Msafiri kakiri ndivyo inavyoonekana hapo wanapambana kulikwamua gari hakuna mtu mme wala mtu mke wote ni kazi
Umoja ni nguvu hatimaye wakajikwamua

0 comments:

Post a Comment