Fahari ya Serengeti

Tuesday, February 28, 2017

ILI KUHARAKISHA MAENDELEO MADIWANI KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO NA WATAALAM


Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Juma Porini akifungua kikao cha kawaida cha baraza ambapo amesisitiza kufanya kazi kwa kushirikiana kati ya wataalam na madiwani ili kugarakisha maendeleo.
Makarani wa kikao cha baraza la madiwani wakiendelea na kazi zao.
Kikao kinaendelea.
Madiwani wakipitia nyaraka mbalimbali.
Wanaendelea na kikao
Uchangiaji hoja unaendelea
Mbunge wa Jimbo la Serengeti Marwa Ryoba akielezea mikakati mbalimbali aliyoifanya na anayotarajia kufanya ambayo itashirikisha madiwani kwa ajili ya kusaidia kusukuma mbele maendeleo ya wilaya hiyo.

Friday, February 24, 2017

HALMASHAURI YASAINI MIKATABA NA MAKANDARASI WA BARABARA.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Mhandisi Juma Hamsini akiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Juma Porini Kulia ,kushoto Mwanasheria wa halmashauri Wakili Maganiko Msabi wakati wa zoezi la kusaini mikataba ya ujenzi wa barabara na ukusanyaji ushuru.
 Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Juma Porini kushoto akiwa pamoja na watalaam wa idara ya Ugavi wilaya wakati wa zoezi la kusaini mikataba ya ujenzi wa barabara na ukusanyaji ushuru.
 Baadhi ya wazabuni wakiwa tayari kwa kusaini mikataba.
 Anasaini mkataba.
 Anafuatilia wanavyosaini.
 Mkurugenzi Mtendaji Juma Hamsini akionyesha mmoja ya mkataba wa ujenzi wa barabara baada ya kusaini,zaidi ya sh 550 zitatumika kwa ajili ya utengenezaji wa barabara kupitia mfuko wa Barabara.
 Wazabuni wanasaini
 Wanasaini wazabuni






Monday, February 20, 2017

ASKOFU JIMBO KATOLIKI MUSOMA AZINDUA JUBILEI YA MIAKA 400 YA SHIRIKA LA MASISTA WA MABINTI WA UPENDO.

 Askofu wa Jimbo Katoliki Musoma Michael Msonganzila akiendesha ibada wakati wa Izinduzi wa Jubilei ya Miaka 400 ya Shirika la Masista wa shirika la Mabinti wa Upendo Parokia ya Issenye wilayani Serengeti,shirika hilo lenye makao makuu Ufaransa liko katika mataifa mbalimbali hapa duniani na miongoni mwa kazi zao ni kuhudumia maskini.

 Wakati wa kuingia kanisani.








 
 








Wanakwaya wa Natta wakimsifu Mungu kwa njia ya nyimbo

Watoto walipamba sherehe hiyo

Chakula kilikuwepo kama inavyoonekana


Paroko wa Parokia ya Issenye Kenedy Gurusha

















Saturday, February 18, 2017

MOTO WATEKETEZA SENTA YA KANISA LA KKKT MUGUMU SERENGETI

 Jengo lenye vyumba tisa ikiwemo duka,darasa la awali na vyumba vya kulala wageni la Senta ya KKKT Mjini Mugumu wilayani Serengeti Mkoa wa Mara wakati likiteketa kwa moto uliozuka ghafla usiku .
 Hali ya majengo baada ya kuteketea kwa moto ambao chanzo chake inadaiwa ni nyanya za umeme walizokuwa wameunganisha kinyamera kwenye chumba cha duka kutoka eneo lingine ,

 Wanashangaa






 Mkuu wa wilaya katika eneo la tukio.

Baadhi ya wanafunzi waliokuwa wakitumia vyumba vya madarasa wakiwa katika eneo la tukio.