Fahari ya Serengeti

Friday, February 3, 2017

RC MARA ASHANGAZWA NA MAAFISA KILIMO KUVAA TAI BADALA YA KWENDA KWA WAKULIMA


RC Mko wa Mara Dk Charles Mlingwa akiongea na maafisa watendaji wa vijiji,kata ,wenyeviti wa vijiji,maafisa tarafa,viongozi wa Vyama vya Siasa ,Viongozi wa dini na wakuu wa idara wilaya ya Serengeti kwenye Ukumbi wa kanisa Katoliki Mugumu,ambapo aliwashangaa maafisa kilimo kuvaa tai wakati ni watu wa Field,amewataka wawe mawakala wa mabadiliko.


 Viongozi mbalimbali wakiwa msza kuu.
 Dc Serengeti akielezea mikakati ya wilaya kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa kuzungumza na watendaji mbalimbali.
 Wanafuatilia maelekezo ya Mkuu wa Mkoa
 Wanafuatilia






0 comments:

Post a Comment