Fahari ya Serengeti

Saturday, January 30, 2016

USAFI WA MAZINGIRA

Wakazi wa Mtaa wa Bomani mjini Mugumu wilayani Serengeti wakiendefanya usafi wa mazingira

Hata watoto wameshiriki










USAFU USAFI KILA KONA









WALIMU WAKUU WA SHULE ZA MSINGI NA WARATIBU ELIMU KATA WATAKIWA KUTUMIA FEDHA ZILIZOTOLEWA KWA KUZINGATIA MWONGOZO WA SERIKALI

 Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti Naomi Nnko akisisitiza walimu wakuu na waratibu elimu kata kutumia fedha zilizotolewa kwa kuzingatia miongozo ya serikali,atakayekiuka atachukuliwa hatua kali,kushoto ni afisa elimu wilaya William Mabanga na kulia ni Das Cosmas Qamara





 Kamanda wa Takukuru wilaya Emmanuel Liguda akitoa ufafanuzi kwa walimu kuhakikisha wanafanya kazi kwa uadilifu.

 Mratibu wa Tasaf wilaya Nancy Nzota akielezea jinsi mpango huo ulivyosaidia kuongeza mahudhurio ya wanafunzi.










Thursday, January 21, 2016

MWANAFUNZI TWIBHOKI ANG'ARA KITAIFA DARASA LA NNE

 Mwalimu  wa darasa la nne shule ya Awali,Msingi na Sekondari ya Twibhoki wilayani Serengeti Mkoa wa Mara Thobias Magesa akimpongeza Frank Mugeta(12)aliyeongoza kitaifa mtihani wa darasa la nne mwaka 2015,ikiwa ni mwendelezo wa shule hiyo kufanya vizuri kwenye mitihani mbalimbali ya kiwilaya,kimkoa na kitaifa.
 HONGERA SANA