Fahari ya Serengeti

Tuesday, April 18, 2017

UTALII WA NDANI

Baadhi ya watalii wakiwa ndani ya Serengeti Ballon Safari's wakifanya utalii ndani yahifadhi ya Taifaya Serengeti.


 Tembo ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti
 Punda milia na wanyama wengine wakiwa ndani ya hifadhi ya Serengeti.
 Viboko wakiwa ndani ya maji.
 baadhi ya watu wakiangalia viboko.







 Mmbo ya Mubashara



 Ballon likiandaliwa




 Timu ya Clouds Tv 360 wakiwa na wadau wengine ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti
 

Saturday, April 15, 2017

WAWILI WAFA NA MMOJA KUNUSURIKA WAKATI WAKICHIMBA DHAHABU

Watu wawili wamekufa na mmoja kunusurika baada ya kuangukiwa na kifusi wakati wakichimba dhahabu katika kijiji cha Merenga kata ya Nyansurura wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara.

Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu amethibitisha kutokea kwa vifo na majeruhi aprili 15 majira ya saa 3 asubuhi katika kitongoji cha Senta kijijini hapo mwaka huu ,baada ya kifusi cha udongo kuwafukia wakati wakichimba dhahabu katika machimbo yaliyoanzishwa kienyeji na wananchi.


Friday, April 14, 2017

WAUMINI KANISA KATOLIKI MUGUMU WAADHIMISHA KWA KUMBUKUMBU YA MATESO YA YESU KWA MAANDAMANO

 Waumini wa kanisa Katoliki Mugumu waadhimisha kumbukumbu ya Mateso ya Yesu kwa njia ya maandamano.
 Wanasikiliza neno katika moja ya Kituo cha njia ya Msalaba
 Wanawito wakiongoza maandamano.












 Na wanafunzi wa Little Flower wameshiriki


TYCS PAROKIA YA MUGUMU BAADA YA SEMINA WAPANDA MITI KUTUNZA MAZINGIRA

 Katekista Anthony Marwa wa Parokia ya Mugumu wilaya ya Serengeti kushoto akiwa na baadhi ya vijana wa TYCS toka Serengeti Sekondari na Chuo cha Ufundi  cha Chipuka wakipanda miti kwa ajili ya kuendelea kutunza mazingira ya kanisa ,kazi hiyo wameifanya baada ya kumaliza semina ya siku tatu.
 Baadhi ya viongozi wa Parokia ya Mugumu na walimu ambao ni walezi wa TYCS.
 Wajumbe wa TYSC wakifuatilia taarifa kutoka kwa viongozi wa Parokia na walezi wa matawi yao.
 TYCS wakipanda miti

 Mwenyekiti wa kamati ya Litrujia Parokia ya Mugumu akitoa nasaha kwa vijana wa TYSC wakati wa kufunga semina ya siku tatu ya vijana hao,amewataka wawe nuru kwa wenzao na wautumie vema ujana wao kwa ajili ya kumtukuza Mungu.
 Wana TYCS wakati wa kuhitimisha mafunzo yao.




 Wanachukua miti kwa ajili ya kwenda kupanda maeneo ya Kanisa.
Utunzaji mazingira.kwa taarifa zaidi tembelea whatsapp,serengetimediacentre