Fahari ya Serengeti

Friday, September 11, 2015

MATUKIO YA MWENGE SERENGETI

 Maafisa wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakiwa na mkuu wa wilaya hiyo wa nne kutoka kushoto Ally Mafutah wakisubiri Mwenge kutoka wilaya ya Tarime.
 Wanasubiri mwenge
 Maandalizi ya mapokezi ya mwenge eneo la Mto Mara
 Brass Band ya Tanapa ilikuwepo kunogesha mapokezi na kazi nzima ya mbio za mwenge
 Wako Kikazi zaidi
 Kazi inakwenda ikiongezeka
 Wako tayari kama inavyoonekana hapo

 Makamanda wakiwa wameimarisha ulinzi
 Mkuu wa wilaya ya Tarime akiongozana na wakimbiza mwenge kwa ajili ya kukabidhi mkuu wa wilaya ya Serengeti.
 Mkuu wa wilaya ya Serengeti Ally Mafutah Mohammed akiwa tayari kupokea Mwenge wa uhuru tayari kuwa kuanza mbio wilayani kwake.
 Nimepokea na utazindua miradi yenye thamani ya zaidi ya sh bil.3 ni maneo ya Dc.
 Anasema wako tayari kwa kuanza mbio za Mwenge wilayani hapo.
 Hapo ni ulinzi tu kama inavyoonekana
 Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Juma Khatib Chum akiwa pamoja na viongozi wa wilaya ya Serengeti ,mara baada ya kupokea mwenge .
 Dc anateta jambo na kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa.

 Uzinduzi wa miradi ulifanyika
 Kamanda wa Polisi wilaya ya Serengeti Omar Nasri akisoma risala kwa ajili ya Polisi Jamii,
 Kiongozi wa mbio za Mwenge akizindua Klabu ya wanafunzi wa sekondari ya Nyansurura ya  kupambana na rushwa .
 Shughuli za vikundi nazo zilitembelewa na wakimbiza mwenge kitaifa.
 Uzinduzi, Uzinduzi wa miradi ilikuwa ni mojawapo ya kazi walizofanya.
 Kazi inaendelea

 Ukakamavu ni moja ya sifa ya kukimbiza mwenge kama inavyoonekana hapo.
 Maandalizi ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami ya kilometa 1.5 mjini Mugumu.
 Mambo yanaenda yakiongezeka

 Anasisitiza jambo pamoja na kutoa ujumbe wa mbio za mwenge wa mwaka huu,TUMIA HAKI YAKO YA KIDEMOKRASIA ,JIANDIKISHE NA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2015.
 Waliweka jiwe la msingi ujenzi wa chuji ya Maji katika bwawa la Manchira.
 Ukaguzi wa shughuli ilikuwa ni moja ya kazi zilizofanyika.






 Wasanii nao walikuwepo.
 Wajasiliamali hawakubaki nyuma.
 Mbio za mwenge hukutanisha watu wa rika mbalimbali kama inavyoonekana hapo.
 Hata hao watoto walikuwepo kushuhudia shughuli za mwenge uwanja wa Mbuzi.




 Salamu ya Utii kwa Rais ikisomwa.

 Burudani zilikuwepo.



 Mwenge ulipokelewa kwa shamra shamra na vikundi vya burudani toka Ngorongoro katika lango la Nabi

 Burudani,burudani,burudani


 Karibu Ngorongoro
 Viongozi kutoka wilaya ya Ngorongoro wakipokea Mwenge kwa ajili ya kuanza safari mkoa wa Arusha