Thursday, December 28, 2017
Home »
» NGARIBA NGULI AFUNGWA MIAKA 8 NA MWENZAKE MIAKA 4
NGARIBA NGULI AFUNGWA MIAKA 8 NA MWENZAKE MIAKA 4
Ngariba Nguli Wansato Bruna (56)mkazi wa kijiji cha Rung'abure wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara kushoto amehukumiwa kifungo cha miaka 8 leo kwa makosa ya kuwakeketa watoto wa kike kinyume cha sheria
0 comments:
Post a Comment