Fahari ya Serengeti

Monday, December 11, 2017

UCHAFU WATISHIA AFYA ZA WAKAZI WA MTAA WA NHC



Taka ambazo zimerudikwa katikati ya Mji wa Mugumu wilaya ya Serengeti zinatishia afya za watoto na wakazi wa mtaa huo baada ya wakala aliyepewa zabuni na Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mugumu kushindwa kuhamisha taka hizo kwa siku mbili,hata hivyo wananchi wanadai huo ni uzembe wa Mamlaka licha ya kununua Trekta lakini halitumiki badala yake wanatumia wazabuni 




 Hatari



0 comments:

Post a Comment