Fahari ya Serengeti

Friday, December 29, 2017

CHUO CHA UFUNDI CHIPUKA CHAWANOA BODA 160 SHERIA ZA USALAMA BARABARANI

 Baadhi ya bodaboda wa Mugumu wilaya ya Serengeti wakiwa kwenye mafunzo ya vitendo baada ya kumaliza mafunzo ya nadharia katika chuo cha Ufundi Chipuka,jumla ya boda 160 wamefuzu mafunzo kwa ufadhili wa Mbunge wa Jimbo hilo Marwa Ryoba na wanatarajia kupata vyeti vyao hivi karibuni na kuwawezesha kwenda kukata leseni.
 Askari wa usalama barabarani akiongoza mafunzo kwa vitendo namna ya kufuata sheria hasa maeneo ya muungano wa barabara.
 Wakiwa darasani wakifuatilia mafunzo
wanafuatilia kwa makini

0 comments:

Post a Comment