Fahari ya Serengeti

Monday, December 25, 2017

WASHINDI WA BONANZA LA MPIRA WA WAVU WABEBA SODA

 Wadau mbalimbali wamejitokeza kutoa zawadi kwa ajili ya washindi wa bonaza la mpira wa wavu Mugumu wilaya ya Serengeti,mchezo huo kwa sasa unashika kasi kwa kujizolea mashabiki wengi.
 Viongozi wakitoa maelekezo mbalimbali baada ya kumaliza bonanza ambalo lilikutanisha wachezaji wa timu hiyo na kuunda jumla ya timu nne.
 Wakiwa na zawadi zao

 Furaha ya ushindi

 Timu iliyokuwa ya tatu katika bonanza hilo

0 comments:

Post a Comment