Fahari ya Serengeti

Monday, December 11, 2017

DC ATAKA JAMII INAYOHESHIMU HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA.

 Dc Nurdin Babu amewataka wadau wote wanaojihusisha na vitendo vya kupinga ukatili wa kijinsia wilayani humo kushirikiana ili kuhakikisha wanakomesha vitendo hivyo ili kujenga wilaya yenye kuheshimu Haki za Binadamu na Utawala bora,na itasaidia kuharakisha maendeleo ya wilaya.
 Wanaandamana kupaza sauti za kupinga ukatili wa kijinsia

Ujumbe kwa njia ya Igizo kutoka Nuru Sanaa Group umetolewa

0 comments:

Post a Comment