Fahari ya Serengeti

Tuesday, December 12, 2017

ROBANDA WAITIKIA MKAKATI WA JENGA HOSPITALI KWA SH 1000

 Dc Serengeti Nurdin Babu akifafanua jinsi wananchi wa wilaya hiyo wanavyotakiwa kuchangia ujenzi wa hospitali ya wilaya ambayo inatarajiwa kuanza kutoa huduma mwaka kesho januari,ili kukamilisha kazi hiyo kila mkazi wa wilaya hiyo anatakiwa kujenga hospitali kwa kuchangia sh 1000,hata hivyo wakazi wa kijiji cha Robanda wameahidi kuvunja rekodi ya kuchangia ili kufanikisha kupata fedha zaidi ya sh 1 bil kwa ajili ya kazi hiyo.
 Mrobanda Japan mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha Robanda amesema,wananchi wako tayari kuchangia ujenzi wa hospitali hiyo kwa kuchangia ,mifugo,fedha na vitu vingine.
 Wananchi wanafuatilia mkutano huo
wanafuatilia



0 comments:

Post a Comment