Fahari ya Serengeti

Tuesday, December 12, 2017

BWENI LA WAVULANA ROBANDA KUTUMIKA MWAKANI

 Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu akishiriki kazi ya ujenzi wa bweni la wavulana sekondari ya Robanda ambalo linatakiwa kuanza kutumika mwaka kesho.
 Kazi zinaendelea kwa kasi
 Wakipata maelezo
 Dc akipata maelezo kutoka kwa viongozi wa Robanda na diwani wa kata hiyo Michael Kunani kushoto


0 comments:

Post a Comment