Fahari ya Serengeti

Monday, December 25, 2017

BONANZA LA MPIRA WA WAVU MUGUMU LAFANA

 Wachezaji wa timu ya mpira wa Wavu Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakimenyana katika bonanza la sikukuu ya Krismas katika Uwanja wa Nhc mjini Mugumu.
 Mpambano unaendelea
 Mchezo huo kwa sasa umeshika kasi kwa mjini Mugumu kufuatia vijana wengi kujitokeza kucheza na kuvuta mashabiki wengi
 Wanafuatilia mpambano


0 comments:

Post a Comment