Fahari ya Serengeti

Sunday, December 24, 2017

WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU WAKUMBUKWA WAKATI WA SIKUKUU YA KRISMASI

 Juma Karamba kwaniaba ya Buiskol Luiser(Mama cheza)raia wa Uholanzi akigawa msaada wa mchele,maharage na fedha kwa watoto 145 waishio katika mazingira magumu Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara kwa ajili ya sikukuu ya krisimasi,msaada huo wa zaidi ya sh 1,4 milioni ni mwendelezo wa kusaidia kundi hilo toka mwaka 2015 wakati wa sikukuu ya krismasi.

 Msaada ukitolewa


 Wakipata fedha


 Kila mtoto alipewa mbali na mchele kilo tatu ,maharage kilo tatu walipewa sh 10,000 kwa ajili ya kununua mahitaji mengine


 Wakisibiri kupata msaada
Rebeka kutoka mtaa wa MCU akiwa na wanawe watatu wakipata msaada huo,hiyo ndiyo dini ya kweli

0 comments:

Post a Comment