Fahari ya Serengeti

Friday, December 8, 2017

WAWILI JELA MIAKA 25 KWA KUKUTWA NA MAYAI YA MBUNI,GARI KUPIGWA MNADA


 Marwa Matiko(32)na Julius Marwa(42) wakazi wa Tarime wamehukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wilaya ya Serengeti kila mmoja kifungo cha miaka 25 na gari lao kutaifishwa baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kukutwa na mayai 16 ya mbuni yenye thamani ya zaidi ya sh 42 mil kinyume cha sheria.



0 comments:

Post a Comment