Fahari ya Serengeti

Sunday, December 24, 2017

PILIKA PILIKA ZA KRISMASI MUGUMU


Biashara ya kuku kwa kipindi hiki cha sikukuu ya krismasi imeshika kasi katika mji wa Mugumu wilaya ya Serengeti kama inavyoonekana ,kuku mmoja huuzwa kati ya sh 10,000 hadi 15,000

 Biashara ni matangazo wanazunguka mtaani kusaka wateja

Chukua huyu ndiye bomba wakati wa sikukuu inaonekana ndivyo wanavyomshawishi mnunuzi



0 comments:

Post a Comment