Fahari ya Serengeti

Sunday, February 28, 2016

RADI YAUA MIFUGO 34 BURUBGA SERENGETI


 NG'OMBE 20,KONDOO 12 NA MBUZI 2 MALI YA OKOLA MAGIGE WAMEKUFA BAADA YA KUPIGWA NA RADI KATIKA KIJIJI CHA BURUNGA KATA YA UWANJA WA NDEGE WILAYANI SERENGETI
 WANANCHI WAKIWA HAWAAMINI KILICHOTOKEA.
 TUKIO HILO LILIBEBA HISIA TOFAUTI TOKA KWA WAKAZI WA WILAYA HIYO,HATA HIVYO FEB 26  MWAKA HUU MAJIRA YA SAA 3.30 USIKU KTK KIJIJI HICHO RADI ILIPIGA TRANSFOMA YA UMEME NA KUSABABISHA MJI WA MUGUMU KUKOSA NISHATI HIYO,NA FEB 27 SAA 8.45 ARASILI NDIPO IKASABABISHA MAJANGA HAYO




Tuesday, February 23, 2016

CWT SERENGETI YAWATUNUKU WASTAAFU ZAWADI















Wednesday, February 17, 2016

BALOZI WA UJERMANI AKABIDHI NDEGE YA DORIA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI


WAZIRI wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe akipata taarifa kutoka kwa Mhifadhi Mkuu wa hifadhi ya Taifa ya Serengeti William Mwakilema wakati wa hafla fupi ya kukabidhiwa Ndege kwa ajili ya doria iliyokabidhiwa na Balozi wa Ujermani Egon Konchanke aliyeko katikati,wa kwanza kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAWA Martin Loiboki na Mkurugenzi wa Tanapa Allan Kijazi.








Balozi wa Ujermani Egon Konchanke akitoa ufafanuzi wa msaada huo wa ndege mbili moja itatumiwa maeneo ya Selous kwa ajili ya kupambana na Ujangili.


Ndege hiyo aina ya Aviat Air Craft Husky A-Ic inabeba watu wawili na inatumia galoni 5 za mafuta kwa saa moja na inagharimu dola 200,000 za Kimarekani.


Rubani wa Ndege hiyo anasema inauwezo wa kwenda kilometa 5 toka chini ,inabeba galoni 50 na ina uwezo wa kuruka saa 10 na haina kelele,inapiga picha matuki yote ya uhalifu na kutuma taarifa kwa askari walioko chini .imetengenezwa mwaka 2015 Amerika.
Simba wakiwa wamejituliza pembeni mwa barabara ya kuelekea lango la Naabi


Simba akiwa amekaa mkao wa kutafuta mawindo,huku Punda milia wakawa wanamwangalia kwa tahadhari

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI USIKU