Fahari ya Serengeti

Sunday, April 9, 2017

JUMAPILI YA MATAWI YAFANA KANISA KATOLIKI MUGUMU SERENGETI

 Paroko wa Kanisa Katoliki Mugumu Alois Magabe akibariki matawi kabla ya kuanza maandamano kutoka uwanja wa Sokoine kuzunguka Mjini hadi Kanisani.
 Waumini wengine wakiendelea kuchukua matawi kama inavyoonekana.
 Neno la Mungu lilisomwa ikiwa ni mwanzo wa Misa ya Jumapili ya Matawi.
 Kila mmoja alipata matawi na kuyapeperusha juu kama matoto ya Mayahudi wakati Yesu anaingia Yerusalemu

 Kila mmoja akishangilia
 Mambo yanazidi kuongezeka

 Pokeeni baraka



 Maandamano yanaanza kuelekea kanisani.
 Maandamano yanaendelea



 Wauza barafu nao walikuwa jilani na kanisa wakivizia fedha za sadaka za watoto
 Wakikaribia kanisani,kwaya zikihanikiza kwa sauti laini zenye kupenyeza ujumbe
Hatimaye waliingia kanisani na misa kuanza

1 comment: