Fahari ya Serengeti

Wednesday, January 6, 2016

SERENGETI SERENA SAFARI LODGE WASAIDIA SARE WANAFUNZI YATIMA NA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU

 Mkuu wa wilaya ya Serengeti Mafutah Ally akimkabidhi sare Machota Elias mwanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi Mugumu B,wilayani hapo ,Kulia ni meneja msaiidizi wa Serengeti Serena Lodge Ibrahim Ongiri,kampuni hiyo imetoa msaada huo kwa watoto 50 wanaoishi katika mazingira magumu na Yatima wenye thamani ya zaidi ya sh 5 mil.
 Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Sophia Chamliho akisoma taarifa ya maendeleo ya shule hiyo.
 Wafanyakazi wa Serengeti Serena Safari wakiangalia maktaba ya shule hiyo iliyojengwa na Haki Elimu.
Maktaba hiyo ina vitabu vya kiada na ziada vikiwemo vya sekondari imejengwa na Haki elimu.
 Dc akisalimia na staf wa Serengeti Serena Safari baada ya kufika shule ya Msingi Mugumu B kwa ajili ya kukabidhi msaada huo.
 Erick Nyora akielezea jambo ,
 Mkuu wa wilaya akikagua mazingira ya shule hiyo kabla ya kuanza shughuli,kulia ni meneja msaidizi wa Serengeti Serena Safari Ongiri,kushoto ni mwalimu mkuu wa shule hiyo Mary Chamuliho.
 Mwalimu huyo anaelezea kukwama kwa jengo hilo ambalo linachangiwa na Haki elimu na kuwa upande wa jamii mwitikio ni mdogo.
 Wanaendelea na ukaguzi wa maeneo huku wakipata taarifa toka kwa mwalimu mkuu.

 Dc anasaini kitabu cha wageni ili shughuli iweze kuanza
Baadhi ya wanafunzi wanufaika na msaada huo wakiwa wamekaa na baadhi ya wazazi wao.

 Mkutubi wa shule hiyo akielezea matumizi ya maktaba yao kwa wageni mbalimbali.
 Ibrahim anaelezea sababu za wao kusaidia kundi hilo kuwa ni kuunga juhudi za serikali za kutoa elimu bure ,wao wanaona kusaidia sare kutawapunguzia baadhi ya wazazi makali na watoto watasoma.



 Zawadi zikiwa zimefungwa ambazo ni sare mbili mbili ,sweta na viatu.

 Pokea zawadi na usome sana
 Staff wa Serena wakisimamia zoezi la ugawaji
 Dc anajiridhisha kwa kufungua kuona kilichomo ndani kabla ya kugawa





 Picha ya pamoja





 Anatoa shukrani kwa msaada waliopata

 Anampongeza


 Baada ya kugawa msaada huo walikata keki ya mwaka mpya
 Wanakata keki



 Ni wakati wa kulakeki



0 comments:

Post a Comment