Fahari ya Serengeti

Monday, February 20, 2017

ASKOFU JIMBO KATOLIKI MUSOMA AZINDUA JUBILEI YA MIAKA 400 YA SHIRIKA LA MASISTA WA MABINTI WA UPENDO.

 Askofu wa Jimbo Katoliki Musoma Michael Msonganzila akiendesha ibada wakati wa Izinduzi wa Jubilei ya Miaka 400 ya Shirika la Masista wa shirika la Mabinti wa Upendo Parokia ya Issenye wilayani Serengeti,shirika hilo lenye makao makuu Ufaransa liko katika mataifa mbalimbali hapa duniani na miongoni mwa kazi zao ni kuhudumia maskini.

 Wakati wa kuingia kanisani.








 
 








Wanakwaya wa Natta wakimsifu Mungu kwa njia ya nyimbo

Watoto walipamba sherehe hiyo

Chakula kilikuwepo kama inavyoonekana


Paroko wa Parokia ya Issenye Kenedy Gurusha

















0 comments:

Post a Comment