Fahari ya Serengeti

Sunday, September 10, 2017

SAFARI MOJA HUANZISHA NYINGINE,HONGERA KWA

 Ashukuriwe Bwana wa Bwana wetu Yesu Kristo kwa Neema zake juu ya Mwanetu Swetbetha kuhitimu darasa la saba shule ya awali,Msingi na Sekondari Twibhoki,hapo akipokea Chake toka kwa Mgeni Rasmi Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu,safari moja inaanzisha nyingine naamini atafikia malengo yake,Mungu zidi kumuimarisha katika kusaka maarifa na hekima,na wazazi wake pia waweze kumwezesha kufikia hatua hiyo.Tumrudishie nini Bwana kwa Ukarimu wake.
 Mama na Mwana katika viwanja vya Sekondari ya Twibhoki,hongera sana
 Sweetbertha kushoto na marafiki zake
 Mama akimpa zawadi ya keki mwanae ikiwa ni ishara ya Upendo na kumtakia mafanikio makubwa katika safari yake ya kusaka elimu.
 Dada akimlisha mdogo wake keki akimpongeza kwa kuhitimu darasa la saba na kumtakie heri katika safari nyiingine ya masomo ya sekondari
 Hongereni
 Anazidi kupongezwa
 Wazazi na wageni waalikuwa wakifuatilia matukio mbalimbali kwenye mahafali
 Hongera sana
Hongereni sana

0 comments:

Post a Comment