Fahari ya Serengeti

Friday, September 1, 2017

BURUDANI ZILITAWALA MKESHA WA MWENGE SERENGETI

 Nuru sanaa walikuwa miongoni mwa vikundi vilivyokonga nyoyo za wananchi kutokana na burudani kem kem katika mkesha wa Mwenge Uwanja wa Mbuzi,licha ya kuwepo mvua iliyoambatana na upepo lakini wananchi hawakukimbia ,
 Kupandwa kwa mti wa maadili Ikorongo sekondari ni moja ya tukio kubwa lililofanywa na kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa
 Bweni la watoto wenye ulemavu shule ya msingi Mugumu limefunguliwa
 Mkuu wa wilaya Nurdin Babu akipokea mwenge wakati wa risala ya utii ikisomwa
 Wanasubiri maelekezo

 Matukio mbalimbali yalijiri
 Ngoma hii ilikuwa miongoni mwa zilizowaburudisha wananchi
Kiongozi wa Mbio za mwenge Kitaifa Amour Hamad Amour akitoa salam za mwenge

0 comments:

Post a Comment