Fahari ya Serengeti

Monday, September 4, 2017

KAMPUNI YA LUMUYE LEOPARD.CO.LTD KUANZA UJENZI WA KIWANDA


Mkurugenzi wa Kampuni ya Lumuye Leopard Co.Ltd ya Mugumu wilaya ya Serengeti Mgiye Chacha akisaidiana na mafundi kupanga matofali yanayofyatuliwa kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha Kukamua mafuta ya alizeti eneo la Tambisa Mugumu Serengeti,Kiwanda hicho kinachotarajia kugharimu zaidi ya sh 2.2 bil kinatarajia kutoa ajira 700 zilizo rasmi na zisizorasmi ikiwa ni mikakati ya utekelezaji wa sera ya Viwanda.
 Ufuatuaji wa matofali unaendelea ili kuhakikisha yanafika zaidi ya 50,000
 Kazi ni kazi vijana wanatengeneza fedha kwa kazi ya kufyatua matofali.







0 comments:

Post a Comment