Fahari ya Serengeti

Monday, September 4, 2017

SAFARI NI SAFARI HATA KAMA MVUA INANYESHA SANA

 Gari la Halmashauri ya wilaya ya Serengeti likisukumwa baada ya kukwama ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti  wakati wanatoka kusindikiza Mwenge wa Uhuru eneo la Krensi kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha,hata hivyo safari iliendelea kama kawaida baada ya kulikwamua.



1 comment:

  1. Kwa muonekano wa picha hii pengine huenda serengeti Media Centre wakawa na matawi huko hifadhini kwani wakipata wapi hizi information ogopa Journalists tupo kutafuta habari zinazoigusa jamii____Serengeti shall never die

    ReplyDelete