Fahari ya Serengeti

Sunday, September 10, 2017

HONGERA KWA KUHITIMU



Mama na Mwana wakiwa viwanja vya Sekondari Twibhoki wakati wa Mahafali ya darasa la saba na kidato cha nne ambayo Mgeni Rasmi Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu amesisitiza kusomesha watoto wa kike.




Zawadi mbalimbali ikiwemo keki zimetawala katika viwanja hivyo


 Mmabo yanaendelea
 Ilifika wakati wa watoto kutoa zwadi kwa wazazi


0 comments:

Post a Comment