Mradi huo unatekelezwa na shirika la amref health africa,Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC)Halmashauri na wadau wengine.
Dc Nurdin Babu kushoto akimkabidhi Mhudumu wa Afya Vijijini Julius Antony Baiskeli na vifaa vingine kwa ajili ya kuendeleza kazi za utoaji elimu na kupinga ukeketaji wa watoto wa kike.
Nakukabidhi baiskeli uitumie kwa kazi kusudiwa isiwe ya kusombea mkaa na vimoro,dc anasisitiza.
Dc anamkabidhi kaimu Mganga Mkuu wa wilaya ya Serengeti Deo Kisaka vifaa hivyo ili aweze kuwapa wahudumu wa afya vijijini.
Kila mmoja na mchuma wake kwa ajili ya kuingia kazini
Picha ya Pamoja ilipigwa
Katibu Tawala wilaya ya Serengeti Cosmas Qamara akisisitiza uwajibikaji wa wahudumu wa afya vijijini
"Nendeni mkasaidie jamii hasa wajawazito na watoto wakike wasikeketwe,"anasema Dc
0 comments:
Post a Comment