Fahari ya Serengeti

Saturday, September 16, 2017

ZAMA ZIMEBADILIKA ,WAZEE WA MILA WATOKA HADHARANI NA KUSEMA UKEKETAJI BASI

 Kiongozi mmoja wa mila na desturi wilaya ya Serengeti Ketuka akiongea na wazee wa mila wa koo ya Inchugu Kenokwe kata ya Mosongo kabla ya mkutano wao na jamii wa kutoa tamko la kukataza ukeketaji kwenye jamii yao,ambao umehudhuriwa na viongozi wa serikali,Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti na Nyumba Salama .
 Nuru Sanaa wakitoa elimu kwa wakazi wa kijiji cha Kenokwe kata ya Mosongo madhara ya ukeketaji

 Wakazi wa kijiji cha Kenokwe wakiwa kwenye mkutano wa hadhara.
 Wazee wa mila wakiwa wamekaa pamoja

 William Mtwazi akitoa elimu kwa wakazi wa kijiji cha Kenokwe

0 comments:

Post a Comment