Fahari ya Serengeti

Thursday, September 28, 2017

WAZEE WA MILA WATAKIWA KUTOBADILI MSIMAMO WAO KUHUSU UKEKETAJI

 Wakazi wa kijiji cha Bisarara kata ya Sedeco wilaya ya Serengeti wamewataka wazee wa mila wa koo ya Inchage kutokubadilika na baadae kuruhusu ukeketaji kuendelea katika jamii.
Katika Mkutano wa wahadhara wa wazee wa mila katika kijiji cha Bisarara wamesema kuwa uamzi wa wazee wa mila wa kupiga marufuku ukeketaji unalenga kumkomboa mtoto wa kike ,hivyo wanatakiwa kutoyumba na baadae kuwaruhusu kisirisiri kuendelea na ukeketaji.
 Msanii wa Nuru Sanaa akitoa elimu kwa wakazi wa kijiji cha Bisarara
 Wasanii wakitoa elimu ya aathari ya ukeketaji









0 comments:

Post a Comment