Fahari ya Serengeti

Monday, September 25, 2017

MC GASAYA AZIDI KUTIKISA ANGA ZA MKOA WA MARA

 Mc Gasaya (Mwalimu )akifungua Shampein katika moja ya mahafali kwa kufuata mapigo ya muziki ikiwa ni katika kunogesha shughuli zake,msema chochote huyo ambaye kitaaluma ni Mwalimu wa shule ya Msingi anazidi kutikisa anga za mkoa wa Mara kutokana na ubunifu wake awapo kazini,
 Akiwa kazini
 Baadhi ya wazazi wakishangilia mafanikio ya mtoto wao
 Mlinzi maarufu shule ya Twibhoki akiwa kazini
Mambo ya mahafali

0 comments:

Post a Comment