Wajumbe wa Kamati za Maji kata ya Kenyamonta wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wanaoendelea na mafunzo ya namna ya kusimamia miradi ya Maji kupitia Mradi wa RAIN unaofadhiliwa na Cocacola Africa Foundation kwa zaidi ya sh 1.4 bil na unatekelezwa na amref health africa-Tanzania katika Kata za Kenyamonta,Mosongo,Nyansurura na Busawe
Wajumbe wakiwa kwenye mijadala
wanabadilisha mawazo
Mwezeshaji akifafanua jambo
Meneja Mradi wa RAIN Mhandisi Japhet Temu kushoto akifuatilia mafunzo ya kamati,kulia ni afisa mtendaji wa kijiji cha Mesaga na katikati ni afisa mtendaji wa kijiji cha Nyagasense Hamisi Mechandi
Wajumbe wakiwa kwenye mijadala
wanabadilisha mawazo
Mwezeshaji akifafanua jambo
Meneja Mradi wa RAIN Mhandisi Japhet Temu kushoto akifuatilia mafunzo ya kamati,kulia ni afisa mtendaji wa kijiji cha Mesaga na katikati ni afisa mtendaji wa kijiji cha Nyagasense Hamisi Mechandi










