Fahari ya Serengeti

Thursday, November 2, 2017

DIWANI KATA YA STENDI KUU ATAKIWA KUSHIRIKISHA JAMII UKARABATI MUGUMU SEC

 Ded Serengeti Juma Hamsini amemtaka diwani wa kata ya Stendi Kuu kushirikisha wazazi kwa ajili ya kukarabati jengo la utawala la shule ya sekondari Mugumu,
Amesema kwa kuwa watoto wanaosoma hapo ni jamii inayozunguka shule hiyo ni vema kuwashirikisha ili kuchangia nguvu zao kwa lengo la kuboresha mazingira ya kusomea,kujifunzia na walimu kufanyia kazi.

"Diwani naomba uje ofisini kwangu tuangalie namna ya kusaidia tatizo hilo ,lakini naomba ujitahidi kushirikisha jamii kuchangia ,ikizingatiwa kuwa shule hii ni ya mjini inatakiwa kuwa katika mazingira mazuri,"amesema.
 Anasisitiza
Wanafuatilia

0 comments:

Post a Comment