Fahari ya Serengeti

Sunday, November 12, 2017

SANAA NURU WATIKISA MJI WA BUTIAMA KWA SANAA

 Kikundi cha Nuru Sanaa kutoka Mugumu Serengeti wametikisa mji wa Butiama kwa burudani mbalimbali wakati wa Uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti wa Elimu uliofanywa na Twaweza -Uwezo mwaka 2015,miongoni mwa burudani zilizokonga nyoyo za wakazi wa mji huo ni ngoma ya Ritungu
 Timu Nuru Sanaa
 Wanafuatilia matukio mbalimbali kabla ya kuingia uwanjani kufanya yao
 Wanafunzi wa shule ya Butiama B wakiwasilisha ujumbe kwa igizo la Ukatili wa kijinsia kwa misingi ya milana desturi
 Nuru Sanaa wakifanya yao na kuwafnya wanafunzi kujitosa uwanjani kusakata ngoma ya Ritungu

Askofu wa kanisa la Anglican jimbo la Musoma Dk George Okothi akifafanua yaliyobainishwa na utafiti wa elimu katika wilaya ya Butiama









0 comments:

Post a Comment