Fahari ya Serengeti

Wednesday, November 8, 2017

MARAFIKI WA ELIMU WAWAKUTANISHA WADAU KUJADILI CHANGAMOTO ZA ELIMU

 Mratibu wa dawati la Jinsia la Polisi wilaya ya Serengeti Paul Pareso akielezea shughuli za dawati la polisi kwa upande wa ukatili wa kijinsia wakati wa mjadala uliowashirikisha wazazi,walezi walimu wa shule ya msingi Mugumu B,ulioandaliwa na Marafiki wa Elimu Serengeti
 Mratibu wa Marafiki wa ELIMU Serengeti Byabato akitoa ufafanuzi wa ushiriki wa Jamii katika kuboresha mazingira ya kufundishia na kusomea kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Mugumu B,




 Ufafanuzi unatolewa


0 comments:

Post a Comment