Fahari ya Serengeti

Sunday, November 12, 2017

MGAO WA WALIMU UFANYIKE KWA UWIANO-ASKOFU

 Askofu wa Kanisa la Anglikan jimbo la Musoma Dk George Akoth ameitaka serikali kugawa walimu kwa uwiano ili kukabiliana na changamoto za watoto kutokujua kusoma na kuandika.

Askofu huyo ambaye ni Mratibu wa Mpango wa Taweza Uwezo Mkoa wa Mara amesema hayo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti waelimu katika wilaya ya Butiama iliofanyika mwaka 2015 ,amesema licha ya shule nyingi za vijijini kuwa na wanafunzi wengi zina walimu wachache na tatizo la kutokujua kusoma na kuandika ni kubwa kwa shule za vijijini ,suluhisho ni mgawanyo wa walimu uzingatie uwiano

0 comments:

Post a Comment