Fahari ya Serengeti

Tuesday, November 28, 2017

KATIKA KUIMARISHA UWEZO MRADI WA RAIN WAWAJENGEA UWEZO WA MAFUNDI WA MAJI

 Katika kuhakikisha usimamizi imara wa Miradi ya Maji vijijini ,Mradi wa RAIN unaotekelezwa na amref helath africa na Halmashauri ya wilaya ya Serengeti kwa ufadhili wa COCACOLA  AFRICA FOUNDATION umewajengea uwezo wa kitaalam mafundi wanaotoka kamati za maji za Kata za Busawe,Kenyamonta,Mosongo na Nyansurura namna ya kufanya matengenezo panapotokea uharibifu,ikiwa ni njia ya kumilikisha mradi kwa jamii.
 Wananolewa.

0 comments:

Post a Comment