Fahari ya Serengeti

Saturday, November 4, 2017

ANASTAZIA MUKAMA AZIDI KUNG'ARA MBIO ZA MITA 10000


Anastazia Mukama mwanafunzi wa kidato cha pili sekondari ya Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara amezidi kung'aa katika riadha baada ya kushika nafasi ya kwanza katika mbio za mita 10000 kwa kutumia dakika 39 katika mashindano ya riadha mkoa wa Mara yaliyoshirikisha wilaya tatu za Tarime ,Serengeti na Bunda ili kuunda timu ya riadha ya wasichana mkoa wa Mara ambayo itaingia kwenye kinyang'anyiro kitaifa ambapo wataunda timu ya Taifa itakayoshiriki mashindano ya Olimpiki Japan Mwaka kesho.
Katika mashindano ya Rocky City Marathon Anastazia katika mbio za kilometa 5 alikuwa wa kwanza ,haki akiwa amemzunguka mshindani wake 




 Bingwa wa mkoa wa Mara mbio za mita 10000 Jumanne toka Serengeti akipasha mwili joto ikiwa ni maandalizi ya kwenda Kilimanjaro Marathon







0 comments:

Post a Comment