Fahari ya Serengeti

Thursday, November 2, 2017

MADIWANI WATAKIWA KUANDIKA KAZI WAZIFANYAZO KILA SIKU

 Meneja wa Mpango wa Maboresho ya serikali za Mitaa Mkoa wa Mara Wakili Mtebe Lusato akiwaelekeza madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Serengeti umuhimu wa kuandika kazi zao ambazo wanazifanya na wanazotarajia kuzifanya na mwishoni ifanyike tathimini ya kuona ahadi ,utekelezaji na ambazo hazikutekelezwa kama njia ya kujipima kiutendaji na uwajibikaji kwa wapiga kura
 msisitizo
Wanafuatilia maelekezo

0 comments:

Post a Comment