Fahari ya Serengeti

Saturday, November 11, 2017

KILA SHULE BUTIAMA KULIMA EKARI MBILI ZA CHAKULA CHA WANAFUNZI

 Afisa Mtendaji wa Kata ya Butiama Hamisi Warioba Kwa niaba ya Dc wa Butiama Anarose Nyamubi akizindua ripoti ya utafiti wa elimu iliyofanywa na Twaweza kupitia Uwezo Mwaka 2015 wilaya ya Butiama na kubaini wanafunzi kutopata chakula ama uji kunachangia kuporomoka kwa taaluma.

Hata hivyo Warioba amesema ili kukabiliana na changamoto hiyo kila shule inatakiwa kulimazaidi ya  ekari mbili za mazao ya mahindi ili kuwawezesha kupata chakula cha wanafunzi shuleni.
 Uzinduzi ukiendelea
 Kila kitu kiko hadharani ambapo imebainika wakati wa utafiti asilimia 25 ya walimu hawakuwa shuleni
 Utoro wa wanafunzi na walimu bado ni tatizo kubwa wilayani humo

 wanafuatilia

0 comments:

Post a Comment