Fahari ya Serengeti

Monday, November 6, 2017

MRADI WA RAIN WAJENGEA UWEZO KAMATI ZA MAJI ZA KATA YA KENYAMONTA SERENGETI

 Wajumbe wa Kamati za Maji kata ya Kenyamonta wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wanaoendelea na mafunzo ya namna ya kusimamia miradi ya Maji kupitia Mradi wa RAIN unaofadhiliwa na Cocacola Africa Foundation kwa zaidi ya sh 1.4 bil na unatekelezwa na amref health africa-Tanzania katika Kata za Kenyamonta,Mosongo,Nyansurura na Busawe
 Wajumbe wakiwa kwenye mijadala
 wanabadilisha mawazo
 Mwezeshaji akifafanua jambo
Meneja Mradi wa RAIN Mhandisi Japhet Temu kushoto akifuatilia mafunzo ya kamati,kulia ni afisa mtendaji wa kijiji cha Mesaga na katikati ni afisa mtendaji wa kijiji cha Nyagasense Hamisi Mechandi

0 comments:

Post a Comment