Fahari ya Serengeti

Saturday, November 4, 2017

TIMU YA RIADHA MKOA WA MARA YAPATIKANA SASA KUINGIA KAMBINI

 Mkuu wa wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Nurdin Babu akitimua mbio mita 100 ikiwa ni uzinduzi wa mashindano ya riadha  kwa wasichana Mkoa huo ambayo yamefanyika Uwanja wa Sokoine Mugumu na kupata jumla ya wakimbiaji 18 wa mbio tofauti wamepatikana.
Wakimbiaji hao kutoka wilaya tatu zilizoshiriki ambazo ni Serengeti ,Bunda na Tarime wataingia kambini kuanzia tarehe 17 mwezi huu kwa ajili ya kunolewa ili kuwapata watano watakowakilisha mkoa kitaifa kwa ajili ya kupata timu ya wasichana wataokwenda Olimpiki Japan Mwaka kesho.
 Baadhi ya wanariadha wakiwa na viongozi kabla ya kuanza mchujo
 Babu amesema wilaya imejipanga kuhudumia wageni kuanzia mashindano hadi kambi ambayo itafanyika wilayani hapo.
 Wanaonyesha makali yao

Mshindi wa kwanza mita 1500

0 comments:

Post a Comment