Fahari ya Serengeti

Thursday, November 2, 2017

MADIWANI WATAKIWA KUBORESHA TAARIFA ZA KATA ZAO

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Juma Porini katikati,Mkurugenzi Mtendaji Juma Hamsini wa kwanza kushoto na  Makamu Mwenyekiti Pasto Maiso wakipitia taarifa mbali mbali zilizokuwa zinawasilishwa na madiwani katika kikao cha baraza.
Hata hivyo Mwenyekiti amewashauri madiwani kuhakikisha wanaboresha taarifa zao kwa kuzingatia hitaji la kanuni ambayo inawataka kukaa vikao vya kata ikibainisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo,mafanikio ,changamoto na mikakati yao.
 mjadala unaendelea huku madiwani wakifuatilia kwa makini
 Kila mmoja anafuatilia
wanajadiliana

0 comments:

Post a Comment