Fahari ya Serengeti

Wednesday, November 22, 2017

SERA YA ELIMU BILA MALIPO HAIJAELEWEKA



Wadau wa Elimu Ikoma Sekondari wilaya ya Serengeti wakiwa kwenye mjadala wa wazi ulioendeshwa na Marafiki wa Elimu wilayani humo ambao umeibua changamoto mbalimbali za elimu ikiwemo wazazi kutokuelewa maudhui ya sera ya Elimu msingi bila Malipo,na wamegoma kuchangia chakula cha watoto wakidai serikali inatoa.
Wanafunzi wa Ikoma sekondari wakifuatilia mjadala wa changamoto za elimu chini ya Marafiki wa Elimu.
 Mjadala unaendelea


 Rafiki wa Elimu Luzama Faustine akifafanua mada ya Mtoto na kuwataka walimu kutokutoa adhabu ambazo zinawafanya watoto wachukie shule

Wanafuatilia

0 comments:

Post a Comment