Fahari ya Serengeti

Thursday, November 2, 2017

MRADI WA RAIN TANZANIA WAWAJENGEA UWEZO WATUMIAJI MAJI BUSAWE

Mradi wa RAIN TANZANIA unaofadhiliwa na Cocacola Africa Foundation kwa ajili ya kata nne za wilaya ya Serengeti na unatekelezwa na amref health africa kwa kushirikiana na Halmashauri ya wilaya ya Serengeti, umeanza kujengea uwezo kamati ya watumaiji maji wa kata ya Busawe ili kuhakikisha wanasimamia vema mradi huo.


Kamati ya watumiaji maji kata ya Busawe wakijengewa uwezo


 Mwezeshaji akitoa maelekezo kuhusiana na mradi huo unaolenga kuwapatia wananchi maji safi na salama ikiwemo kuwajengea uwezo wa  kiuchumi


 Mnanielewa?mtaalam anawauliza





0 comments:

Post a Comment